.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

Wapi tumekosea?


Wapi tumekosea?
Tulipokosea ni pale tulipo kubali kuishi na kukumbatia katiba isiyo na manufaa kwetu na kwa kizazi chetu cha sasa na baadae. Wengi wetu tulikuwa hatujui ni kipi hasa wanakifanya wanasiasa wa nchini  zetu na nguvu yao ni ipi na inawezaji kuathiri uhai wa nchi yetu kama hawatotumia hekima yao katika kutoa maamuzi makini?(tuliiacha siasa ijiendeshe yenyewe)
Tulifanya vingi kwa mkupuo mmoja na kusahau dhumuni letu la awali na tabia hii tunaendelea nayo hadi sasa(tunakusahiki tunaacha tuagusa kingine kabla cha mwazo hakijaisha)
Kuiga mambo ya ulaya kumetupoza kwa kuwa wale tunaowainga miaka hamsini nyuma walitunyonga na kutuchapa mijeledi sasa badala ya kudai fedia na kuwawekea sheria kali viongozi wetu wakawanaenda kuomba maji mtoni wakati kwao wameacha bahari.hii ndo faida ya kujidharau mwenyewe..Tulijidharau na tukaangaika kutafuta wenye akili ili hali tulikuwa na akili nyingi kuzidi wao.
Wasaliti Afrika wenzetu waliamua kwa dhati yao kuuza taifa kwa mikataba mibovu huku wakisisitiza usiri katika mikataba yetu, maana usiri ni mama wa ubinafsi na ubinafsi ni motto wa ubepari.
Kukumbatia  elimu yao isiyo na manufaa inapoteza muda mrefu na inazalisha wategemezi wengi (kizazi cha starehe na fasbuku)kuliko wabunifu ambao ndo tunawahitaji kwa sasa.kwa ujinga wetu tukaacha kuchukua hatua za dhati kukuza sayansi kama China.Tukachakachua elimu yetu wenyewe na siasa huku tukitegemea tutakuwa kiuchumi kwa kuwa na vyuo vya kozi  maneno.. yakatoka Malipo ya ujinga wetu sasa nchi zetu zinawanasiasa wengi kuliko na kila mtu ana tai na suti tunapishana posta tukitafuta ajira.je hapa taifa litakuwa kweli?
Wanyoge kukosa umoja, wengi wa watu wa hali ya chini hatuna umoja  katika kutetea masilahi yetu na taifa kwa ujumla.Hii inatokana na tishio tunavyopata kwa wale  la tunaodai na hutumia njia mbaya za kututenga tusifanikiwe? 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...