KILELE CHA UBEPARI NA TISHIO LA USHOGA AFRIKA
Kitabu hiki kinaelezea
maisha halisi ya mwananchi wa hali ya chini katika bara la Afrika,ususani chini
ya ya jangwa la sahara.
Harakati
zao za kujinasua katika umasikini uliokisiri?
Ni kwa nini umasikini unazidi kuongezeka ndani
ya bara letu lenye kila aina ya rasilimali?.Je ni kwa nini wanasiasa wamekuwa
vigeugeu?.
Nani anayeanzisha
maandamano ya ukombozi katika nchi nyingi za Africa?
·
lengo la kuleta ushoga Africa nini?
·
ni nani wa kulaumiwa katika hili?
Kitabu hichi
kimechambua kwa undani nini cha kufanya ili kujikomboa katika hili janga
lilokumba bara letu la africa.
hapa tulipo sasa ni
KILELE CHA UBEPARI KATIKA BARA LETU.(KILELE CHA UBINAFSI WA MALI)