.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

Hasara za kuukana ujamaa nakujitegemea


Hasara za kuukana ujamaa nakujitegemea

Afrika ya leo imezalisha viongozi na watendaji wanaoteuliwa kwa wingi kuliko kuchaguliwa hili ni zao la utengano.(ubinafsi)kumpa mtu au watu fulani madaraka makubwa ya maamuzi pasipo na sababu yoyote ile ya msingi.hii iliwekwa na wakoloni ili kuakisha kila anayeweka katika eneo husika anawatumikia wao hivyo basi tusije tushangaa mikataba mbovu inapita tu kwa watu hawa ambao ni weusi ngozi ila roho zao ni zaidi ya tip tip aliyekuwa naingoza msafara wa watumwa.

Watu wanataka uraia wa nchi mbili kwa kisingizio cha kutuma pesa nchini kwao.(zao la umimi)tujiulize wewe una mama yako na unataka uwe na mababa wawili wa kazi gan?na wengi wanaotaka hili ni wale wenye uwezo na elimu ndipo utapoona madhara ya elimu hii na ustarabu wao unapoteza kizazi chetu.
Kumiliki mali unayoshindwa hata kuiendeesha na kuisimamia.magoru yazidi viwanda na mashamba ya ujamaa yaliyouliwa na wabinafsi wanashindwa hata kuyaendesha wanachapa fimbo ndugu zetu wanaenda kujipatia riziki kwenye mapori hayo sasa tujiulize ni nani aliyewapa jeuri hawa kuwachapa fimbo waafrika wenzao.
Ongezeko kubwa la madeni ya nje.
Uchumi kushuka na utofauti kati ya masikini na tajiri kuongezeka sana.
Ardhi kumilikiwa na wachache.
Maandamano yasiyoisha.
Hospitali kukosa madawa.
Dini kuongezeka.
Elimu kushuka thamani.
Wasomi kupenda semina kuliko kufanya kazi.
Viongozi kupenda ziara kuliko kutumikia wananchi.
Viongozi kunyamaza kimya mpaka kwenye mambo makubwa yahusuyo usitawi wa nchi.
Maliasili kuchukuliwa hadharani
Viongozi kuongoza walinzi wa kuwalinda.
Na nyingine nyingi>
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...