.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

Faida ya ujamaa ilikuwa ni ipi kwa Tanzania?


Faida ya ujamaa ilikuwa ni ipi kwa Tanzania?
Ujamaa na kujitegemea hili ndilo kusudio la mungu kwa watu wake, waishi kwa umoja na ushirikiano ndani ya hii dunia.kila mmoja amsaidie wenzake na kuwepo na usawa baina ya mtu na mtu.
Kwa kiasi kikubwa tuliweza kufanya mengi ya kujivuna pindi tulipokuwa tumeshikamana tulijenga reli,barabara,bandari,hospitali,shule na  vingine vingi ambayo vimeshindwa hata kuendelezwa na viongozi wa sasa na kuviacha vife kwa kukosa usimamizi.hapa nipo utengano unapoonyesha wazi kuwa hauwezi kutukomboa wanyonge tunaotegemea reli ambayo inachechemia sasa na kufanya wenye nacho kutubeba kwa magari yanayotupa shida kila siku huko barabarani.umoja ni nguvu toka umbaji na anayekataa umoja ni mwenye dhambi na ardhi yake hulaaniwa na Mungu hiki ndicho kimetukuta sasa tunashindwa kwenda mbele tunashindwa kurudi nyuma.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...