Je
itawezekanaje?
Tuwasaidie kuunda
katiba zitakazo tupa mwanya wa kufanya chochote kile tutakachotaka kufanya, hivyo
basi katiba nyingi za afrika zilizaliwa kupitia msaada wa nchi marafiki wa zile
zilizotutawala au kutoka kwenye nchi zilezile zilizotutawala.