Afrika
ijitawalaje?
Hili ndilo swali
walilojiuliza je?na nani awe kiongozi wao basi? hawa watu wajitawale maeneo
yapi?jibu likawa rahisi sasa na kwa kuwa sisi shida yetu ni mali acha hawa
wajitawale maeneo mengine yote lakini sio mali, mali zote ziwe chini yetu mpaka
mwisho wa sayari huu ndo ulikuwa msimamo wa mabepari tangu kale mpaka sasa na
hadi mwisho wa dunia hii si dhani kama utabadilika.