Nani
alileta siasa?
Baada ya kupita miaka
kadhaa ya waafrika ya kushambulia makazi ya wazungu na shinikizo kutoka kwa
waafrika waishi ughaibuni pia uwepo wa
waafrika wenye elimu ya kupambanua mambo.Waafrika hao walikuwa wamepata elimu
kutoka kwenye shule za wakoloni.harakati za kujikomboa zilianza katika afrika
taratibu na ndipo hapo nchi za afrika zikaanza kujipatia uhuru wao kutoka kwa
wakoloni taratibu.