.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

Je dhumuni la ubepari ni nini?


Katika hali ya kawaida tunaona kuwa dhumuni kubwa la ubepari dunia ni uuwaji,nikimaanisha kuwa shetani alikuwa anaamini kuwa pindi adamu na eva watapomsaliti mungu basi mungu atawaacha wapweke na kwa sababu ya mateso na masumbuko ya dunia watu hawa watashindwa kusitahimili mateso hayo na kufa na kuacha mali zote chini ya hima yake muovu shetani.
Imani ya shetani ilikuwa kuu akiamini kuwa hata kama wataweza kuzaa na kuongezeka basi kizazi watachokizaa watakirisisha dhambi kuu ya ubinafsi ambayo ni kitovu cha ubepari na mwisho wa nyakati watauana wenyewe kwa wenyewe wakigombania malisho na chakula.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...