.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

furniture


je wewe ni fundi furniture au una show room ya furniture wakati wako ndo huu..leta picha zako na maelekezo tukuunganishe na wateja moja kwa moja..

show kali kutoka kwa freedom band


duka la spare

kama una duka  la spare popote pale ndani ya tanzania akikisha unatutumia picha zako na maelekezo lilipo tukuunganishe na wateja moja kwa moja...

safiri na air tanzania


tiketi za meli



tunawakaribisha makampuni yote ya meli kutangaza  nasi...........hii ni meli ya azam inayobeba abiria na mizigo kwa pamoja.

serena hotel



zamani movenpick hotel...kwa wazee wa matumizi nadhani mnapapata vizuri tu hapa sehemu tulivu.ya marahaa ... je una bar ,lodge,guest house au motel..leta picha tu share hapaaa... sasa.

nyumba ya kupangisha

je una nyumba au vyumba vya kupangisha au wewe ni dalali usisite leta picha zako au maelezo yako uwafikie mamia kwa maelfu ya watazamaji wetu..

vyuo na college

je una chuo au college unayohitaji wadau waijue..fanya fasta wasiliana nasi kwa email yetu sasa....

vifaa vya ujenzi

tangaza duka lako la vifaa vya ujezi nasi sasa...popote pale ulipo tanzania ...wasiliana nasi e-mail sokonikariakoo@gmail.com.

duka la vyombo vya jikoni

je una duka  vifaa vya jikoni.....leta picha zako fasta na maelekezo lilipo tuweze ku connect na maelfu ya watejaa ....changamka biashara matangazo ....e-mail sokonikariakoo.blogspot.com



show room

je una show room ya magari...leta picha na maelekezo yaote kwetu tuku connect na wanunuzi sasa....e-mail us sokonikariakoo@gmail.com

NEW STYLE & DESIGNS.....@DORIS FASHIONS


YESSSS NI HAO HAO 
DORIS FASHIONS
 WAMESHUSHA DESIGN NA STYLE MPYA ZA FUNGA NA KUFUNGUA MWAKA.....WAMETAMBULISHA VIVAZI VYA MA -MAIDS,NGUO YA SENDOFF NA KITCHEN PARTY NA ZA RECEPTION ZA BI HARUSI BILA YA KUSAHAU YA MAMA,DADA,MASHANGAZI NA WANAKAMATI PAMOJA NA WAALIKWA
WACHUNGULIE KAZI ZAO ZILIZOPITA 
WANAPATIKANA::MIKOCHENI JUNTION ROSE GARDEN/TWIGA ROAD 

MAWASILIANO::+255 755 744 665


NEW ARRIVALS @ BRILLANTE MENS BOUTIQUE


NIBRILLANTE  MENS BOUTIQUE 
MAY FAIR PLAZA 
 AMBAPO SASA HIVI WAMESHUSHA MZIGOOO MPYAA TOKA
 ITALY......UTURUKI....NA MAREKANI.....
NI MWENDO WA SUTI, MASHATI,JEANS,TSHIRT,LINEN,RABA ZA UKWE'E KUTOKA MAREKANI YENYE CHATA ZA UKWE'E MBALI KUNA SANDOZ ZA NGUVUUU MAMBO YA WIKI END (unaacha vidole vipunge upepo)

WANAPATIKANA::MIKOCHENI,JENGO LA MAY FAIR PLAZA
WASILIANA NAO::+255 652 222324
EMAIL::briliantewear@gmail.com




vipodozi


TOKELEZEA


SK-NETWORK UWANJA WA TAIFA WA HABARI


BREAK NEWS:DOKTA ULIMBOKA APIGWA NA YUKO MAHUTUTI

SAKATA LA MADAKTARI LAZIDI KUWA KUBWA BAADA YA WATU WASIJULIKANA KUMKATA DOKTA ULIMBOKA NA KUMPIGA NUSURA YA KUMUUA NA KWENDA KUMTELEKEZA MAENEO YA MWANGEPANDE ...WATU HAO WALIOKUWA WAKIMLAUMU DOKTA HUYO KWA KUWASUMBUA NA KUUPA KAMA WANGEKUWA NA SINDANO YA SUMU WANGEMPIGA AFEE...WALIMCHUKA NA GARI LILIKUWA HALINA NAMBA NA KUFUNIKA KITAMBAA NA KUMPA KIPIGO KITAKATIFU NA KWENDA KUMTUPA HUKO MWANGWEPANDE ...KWA SASA YUPO MOI AKIPIMWA NA MADAKTARI WEZAKE ...KA NASI TUKUABARISHEEEE.......................(habari hii ni kwa hisani ya radio EA AFRIKA )

SHUKRANI KUTOKA SK-NETWORK


SK-NETWORK ni mtandao bora na wa kisasa unaomilikiwa na vipeperushi company .kampuni inayohusika na utoaji na usambazaji wa vijarida vya matangazo nchini Tanzania inawatangazia umma wa watanzania kuwa wako katika hatua za mwisho za kubora huduma zao za matangazo ya hewani na nchi kavu(usambazaji wa vijarida)kuwa ya kisasa na kuwafikia watanzania milioni 1 ndani na nje ya nchi yetu.Hivyo basi tunafuraha kubwa kuwataarifu watazamaji wa blog zetu  kuwa tunaendelea kukuwa na kwa sasa tunatazamwa na watu wengi kutoka ndani na nje ya mpaka yetu.Tunakushukuru wewe mtazamaji wetu kwa kuchukuwa muda wako kuwaambia  jamaa,ndugu,marafiki nawapendwa wako kuhusu mtandao wetu  na jinsi ya kuupata ili nao waweze kupata habari na kuhabarika kwa haraka.Ili adhima yetu iweze kutimia ya kuwafikiwa watanzania milioni 1kwa siku. Tunakuomba uendelee kuwataafifu na jamaa wengine ambao kwa namna moja au nyingine hawajafikiwa na taarifa kuhusu SK-NEWORK.
Kumbuka kwa sasa SK-NETWORK inatoa ofa ya kutangaza bure kwenye blog yake ya masokoni.blogspot.com.changamkia fursa hii sasa kabla ofa haijaisha.

Eneo la wazi


Safari za wafanyabiashara ziliwezesha kugundulika kwa bara hili  la kwa mataifa ya magharibi na asia kwa ujumla wake.Bara letu lilionekana kuwa eno la wazi lisilo na miliki wenye nguvu kwa kuwa kulikuwa na makabila waliokuwa wamejitenga sana kiumbali na huku yakijishuhulisha nza shuhuli mbalimbali ikiwemo uvuvi,ufugaji na mengine kilimo basi nchi za bara la ulaya waliamua kwa dhati kushambulia bara hili kila kona na kujichumia mali zilizopo na pia walichukuwa watu wa bara hili na kwenda kuwafanyisha kazi ngumu kwenye mashamba na viwandani. Hakuna kilichokuwa si mali kwao, vyote walibeba si pembe za ndovu,watu ,madini wala bidhaa za utamaduni.Ingawa maeneo mengine walipata vizuizi  kutoka kwa makabila kadhaa yaliokuwa na vifaa vya kivita na kundi kubwa la wapiganaji lakini kwao haikuwa shida kubwa maana walikuwa wamesha jipanga sawa sawa kuvunja kizuizi chochote kile kitachokuwa kinajitokeza na kuzuia mpango yao.huku wakitengeneza ramani ya kuonyesha sehemu zenye mali ikiwemo madini na maeneo yanayofaa kwa kilimo walifanya kazii hii kwa uangalifu mkubwa.

Je dhumuni la ubepari ni nini?


Katika hali ya kawaida tunaona kuwa dhumuni kubwa la ubepari dunia ni uuwaji,nikimaanisha kuwa shetani alikuwa anaamini kuwa pindi adamu na eva watapomsaliti mungu basi mungu atawaacha wapweke na kwa sababu ya mateso na masumbuko ya dunia watu hawa watashindwa kusitahimili mateso hayo na kufa na kuacha mali zote chini ya hima yake muovu shetani.
Imani ya shetani ilikuwa kuu akiamini kuwa hata kama wataweza kuzaa na kuongezeka basi kizazi watachokizaa watakirisisha dhambi kuu ya ubinafsi ambayo ni kitovu cha ubepari na mwisho wa nyakati watauana wenyewe kwa wenyewe wakigombania malisho na chakula.

Je ubepari ulianzia wapi?



Tutambue kuwa ubepari huanza kwa hatua hiyo basi historia inaonyesha kuwa toka aumbwe Adamu na Eva hapo ndipo ubepari ulipoaza ukiwa na sura ya ubinafsi(maana ubinafsi ni mtoto wa ubepari).Adamu na Eva walipewa dunia waitawale na wafaidi kila kitu kilichopo ndani ya dunia hii mto,maziwa ,asali ,matunda, majani na kadhalika.
Adamu na Eva alijua kabisa bosi wao ni Mungu aliye juu mmiliki wa mali zote walizokabiziwa wazitumie mpaka pumzi yao pia ilikuwa ni mali yake.
Adamu na Eva  walingizwa kishawishini na shetani wamsaliti Mungu na kubinafsisha mali zake zote walizokabiziwa na wazimiliki wao kwa ushirikiano na shetani mkuu wa kuzinu.
Kutokana na hilo bwana Mungu alichukiza na ile hali na kuamua kuwatupa nje ya ile bustani ya edeni na kuwaacha wakahajitafutie wenyewe chakula na mahitaji yao ya kila siku.
Katika hali hii basi tutaona kuwa mwenyekiti wa ubepari duniani ni SHETANI.
Maana ndiye muanzilishi waubepari duniani toka enzi za Adamu na Eva ni yeye aliyewapa ujasiri wakina Adamu na Eva waukubali ubinafsi na kuachana na mpango wa Mungu ulikuwa unaweka umoja wa kila kitu.

UTANGULIZI


Tujikumbushe kwanza Africa ilitoka wapi ?Africa kama mabara mengine dunia  lilikuwa bara lenye wananchi wanaojiongoza kwa  mila na desturi za makabila yao.Hii ikimaanisha kuwa sheria na taaratibu za kuishi zilizingatia sana mila na desturi hiyo basi kila ukoo ulifanya kila mbinu ili uweze kukubalika katika kabila husika na waweze kupewa uongozi wa kabila husika,hali hii ilifanya kupatikana kwa ukoo zenye nguvu ya kutawala na kutoa maamuzi mazito kuhusu makabila husika.
 Katika hali hii iliongeza ubunifu hasa katika maeneo ya uzalishaji wa mazao na vifaa vya kivita na mafunzo ya kijeshi.hii ilisaidia sana ukuwaji wa maeneo na kusababisha koo na makabila mengine madogo madogo kufa kwa sababu ya kushindwa  kivita na mali zao walizokuwa wakimiliki kupokonywa na makabila hayo yakageuka vibaraka wa makabila yale makubwa.
Makabila mengi yalipotea nakutofahamika tena kwenye uso wa dunia kutokana na sababu hizo na mengine yaliweka makazi kwenye maeneo yenye wanyama wakali ,mafuriko na wadudu waambukizao maradhi  na wakashambuliwa na magonjwa,wanyama wakali na mafuriko  na kuisha taratibu baada ya kuanza kutawanyika kukimbia majanga hayo.


 


KILELE CHA UBEPARI NA TISHIO LA USHOGA AFRIKA



KILELE CHA UBEPARI  NA TISHIO LA USHOGA AFRIKA
Kitabu hiki kinaelezea maisha halisi ya mwananchi wa hali ya chini katika bara la Afrika,ususani chini ya ya jangwa la sahara.
Harakati zao za kujinasua katika umasikini uliokisiri?
Ni  kwa nini umasikini unazidi kuongezeka ndani ya bara letu lenye kila aina ya rasilimali?.Je ni kwa nini wanasiasa wamekuwa vigeugeu?.
Nani anayeanzisha maandamano ya ukombozi katika nchi nyingi za Africa?
·       lengo la kuleta ushoga Africa nini?
·       ni nani wa kulaumiwa katika  hili?
Kitabu hichi kimechambua kwa undani nini cha kufanya ili kujikomboa katika hili janga lilokumba bara letu la africa.
hapa tulipo sasa ni KILELE CHA UBEPARI KATIKA BARA LETU.(KILELE CHA UBINAFSI WA MALI)

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...